UMOJA WA WANAFUNZI WA KITANZANIA
HYDERABAD-INDIA
(TSAH)
Uchanguzi wa Viongozi
Tarehe 7/11/2010
Tunapenda kuwataarifu wanafunzi wote wa Kitanzania, wanaosoma katika vyuo vikuu na taasisi mbalimbali za kitaaluma hapa Hyderabad India, kuwa ule Mkutano Mkuu wa uchaguzi wa viongozi wa Umoja Utafanyika katika tarehe iliyotajwa hapo juu katika ukumbi wa Community Hall, hmt bearings, Sainikpuri kuanzia saa saba mchana.
Uchaguzi utasindikizwa na burudani murua toka kwa Watanzania wenye vipaji katika Muziki na Komedi.
Wagombea wetu ni :
MWENYEKITI
1. Mathias jackson
2. Humphrey Damas
KATIBU
1. John Gagah
KATIBU MWENEZI
2. Flaviana Chacha
3. Frank Felix
Mnakumbushwa kuzingatia muda
Tabagi, A
Mwenyekiti, Kamati ya uchaguzi
HYDERABAD-INDIA
(TSAH)
Uchanguzi wa Viongozi
Tarehe 7/11/2010
Tunapenda kuwataarifu wanafunzi wote wa Kitanzania, wanaosoma katika vyuo vikuu na taasisi mbalimbali za kitaaluma hapa Hyderabad India, kuwa ule Mkutano Mkuu wa uchaguzi wa viongozi wa Umoja Utafanyika katika tarehe iliyotajwa hapo juu katika ukumbi wa Community Hall, hmt bearings, Sainikpuri kuanzia saa saba mchana.
Uchaguzi utasindikizwa na burudani murua toka kwa Watanzania wenye vipaji katika Muziki na Komedi.
Wagombea wetu ni :
MWENYEKITI
1. Mathias jackson
2. Humphrey Damas
KATIBU
1. John Gagah
KATIBU MWENEZI
2. Flaviana Chacha
3. Frank Felix
Mnakumbushwa kuzingatia muda
Tabagi, A
Mwenyekiti, Kamati ya uchaguzi
sasa mbona mweka hazina hayupo..au mshabadilisha katiba..kuweni makini kama wasomi mtaendeshaje association kama hii bila kuwa na mapato na matumizi chini ya mweka hazina!!
ReplyDeletewapi makamu mwenyekiti...wapi mweka hazina..mbona nafasi ya katibu ni mmoja...wewe mtu mzima tabagi inakuwaje bwana...unatutia mashaka hata hapa bongo...usivuruge wanafunzi huko bwana!!
ReplyDeletewadau wa tsah musiwe na wasi wasi kila kitu kimezingatia katiba na kila kitu kiko poa kabisa hilo jina la mweka hazina lilichelewa kidogo kutokana na huyo mgombea kuwa nje ya state na atukutaka kumchakachua na kumkosea haki yake ya kidemokrasia ya kuchagulia so j2 naye pia atakuwepo kushindana na wenzake, kamati ya uchaguzi inaomba samahani kwa usumbufu uliojitokeza
ReplyDeletekutoka kwa kamati ya uchaguzi
Ah! Gagah, kichwa cha Moshi Tech enzi zile naona mepita bila kupingwa..lol!
ReplyDelete