Home
Unlabelled
wah. wabunge wakila kiapo bungeni leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
“I have been in the Parliament for all may life” amesema Makinda akimaanisha kwamba, amekuwa bungeni maisha yake yote na kwamba, kitu kikubwa alichokifurahia katika maisha yake ni kuwa Mbunge
ReplyDeleteMkosamali mshikaji vipi mambo?
ReplyDeleteSiasa yeyote sio kuzua maneno na mnapozua mnasababisha vurugu ndani ya Bunge”amesema mwanasiasa huyo aliyejiwekea historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa Spika wa Bunge la Tanzania.
Amesema, anasikitika kwamba, kulikuwa na kashfa moja tu katika Bunge lililopita iliyohusu mkataba wa kuzalisha umeme wa dharura kati ya Serikali na kampuni hewa ya Richmond.
“Pale zilitakiwa Richmond zaidi ya 10’ alisema Makinda katika moja ya kumbi za mikutano katika Ofisi ya Bunge mjini Dodoma na akabainisha kwamba, wakati mwingine wabunge wa chama tawala na wale wa upinzani huungana kwenye suala kama hilo.
Ni waziri mkuu mstaafu!
ReplyDeleteUzalendo kaka Michuzi uko wapi??? Au ni macho yangu??? Bungeni kapeti lina bendera ya nchi halafu wabunge wanakanyaga. .... Je inamaanisha kua mbunge yupo juu ya nchi au mbunge anatumikia inchi??? Naomba msaada.
ReplyDelete