Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi Radhamani Khijjah (kushoto) akibadilishana hati ya mkopo wa shilingi bilioni 106 kutoka Serikali ya Japan kwa Tanzania leo jijini Dar es salaam na Kaimu Balozi wa Japan nchini Bw. Shuichiro Kawaguchi(kulia) . Mkopo huo unalenga kuwekeza katika mradi wa usafishaji wa umeme kutoka chanzo cha uzalishiaji huko mkoani Iringa kupitia mikoa ya Singida , Dodoma hadi Shinyanga.Picha na Tiganya Vincent- MAELEZO- Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mr. Ngeleja, huo ni Mkopo...jamani kuweni macho usiishie mikononi mwa wachache halafu deni mnatupia wananchi...!! Tuone basi matokeo ya huo mkopo...!!

    ReplyDelete
  2. harafu hizo pesa mtumie kuwalipa dowans, kule namtumbo songea kumegundulika kiasi kikubwa sana cha madini ya uranium ambayo wenzetu wanayatumia kupata nuclear ambayo inaweza kuzalisha umeme,badala yake tumeshawapatia wamarekani waanze kuchimba hiyo uranium na kupeleka kwao!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...