Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Mahusiano wa TBL,Steve Kilindo (kushoto) akiwasha mshumaa wakati wa maadhimisho ya siku Ukimwi Duniani iliyoadhimishwa jana.Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Waelimishaji Rika,Afya wa Kampuni hiyo,Hamadi Maliwati.
Kikundi cha Uelimishari Rika katika Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kikiwasha mishumaa katika maadhimisho hayo yaliyofanyika jana katika Makao Makuu ya Kampuni hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. jamani hamadi maliwati upo??za masiku?uwanja ndege wanasemaje???
    mdau

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...