walioshuhudia michuano hiyo
walioshuhudia michuano hiyo
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Inatukumbusha mabli sana hii michezo ,mkuu, shukurani kwa taarifa hii
ReplyDeleteHongera sana TAMISEMI, kwa kufanikisha mashindano haya muhimu. Nimeambiwa vijana walikuwa wanakula vizuri tofauti na miaka ya nyuma, walisafiri kwa mabasi na sio malori kama ilivyokuwa zamani, walilala vizuri na pia kupewa vifaa vya michezo. Ni mwanzo mzuri sana, na hapa ndio nilitegemea kuwaona makocha wa Taifa wakivinjari na sio wanasiasa. Safi sana TAMISEMI.( Niliwahi kuwa mwl wa timu za mpira wa wavu za mkoa wa Dodoma na kushinda ubingwa kwa miaka 7 mfululizo)
ReplyDelete....duh, naibu waziri wa elimu nimrefuuuuu!
ReplyDeletenatoa pongezi kwa serikali kufufua hii michezo.
ReplyDelete