

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Leodgar Tenga tembeeni muulize kule mpira ulipoinuka umesababishwa na nini?
ReplyDeleteMsitegemee kuona mpira ukipanda kwa kuziwezesha timu mbili tu.
Tengenezeni muundo utakaohusisha timu nyingi kutoka at least 80% ya nchi yetu.
Hata wadhamini mna la kujibu, kunavituo vyenu vya biashara Moshi, Arusha,Mwanza hata Mbeya........kwanini imani yenu ya kujitangaza hapo tu?
Imani kwamba mpira upo Dar tu haina ukweli.
Hivi bukta zinaruhusiwa kuvaliwa 'mlegezo' (chini ya makalio) kama ninavyoona hiyo picha ya chini kabisa kushoto?
ReplyDeleteTFF, wadhamini kama TBL, TV, Radio,viwanja vya mpira mikoani/wilayani na wadau wengine wote lazima kujua kuwa mpira siyo Darisalama tu.
ReplyDeleteMfano ktk Uingereza(UK)mji wa Manchester(wakazi laki nne ishirini) ni mji wa tisa kwa ukubwa UK(United Kingdom)hivyo tuseme ni Iringa kwa Tanzania,lakini mjini Manchester kuna timu kubwa kama ManUTD, ManCity n.k na wadhamini/wadau wamezisaidia sana timu kujulikana kuwa ni timu kubwa. Hakuna kusahau mji wa Liverpool(wakazi laki nne arobaini) ni wa nane kwa ukubwa Uingereza(UK)huku kukiwa na timu kubwa ya Liverpool FC.
Kwa Tanzania pia tunatakiwa kuwa na timu nzuri pia toka Kigoma, Moshi, Tanga, Mtwara, Dodoma,Lindi n.k ili kuweza kuibua vipaji toka huko na siyo kufanya Darisalamu ndiyo Tanzania.
Ikiwa TFF, wadhamini, magazeti, TV, Radio na wadau wengine wakiona umuhimu wa kuwa na timu toka kona zote za Tanzania zitakazozitoa jasho timu za Simba na Yanga, basi mpira wa Tanzania utakuwa mkubwa na pia wadhamini na wadau wote kufaidika kibiashara na kimichezo kwa kujazana viwanjani kuangalia timu zote bila kujali kama ni Simba au Yanga kutokana na ushindani mkubwa utaokuwepo ktk soka.
Mdau
Ntwara Mjini
hizo bukta kama sketi eboo......... man u hatushikiki..
ReplyDeletemchezaji wa yanga anakifriji...lol
ReplyDeletebia za bure hizo