Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya simu Tanzania TTCL Bw. Said Amir akimkabidhi mtoto wa kituo cha watoto yatima cha Mbagala Trast Group Faudhia Mohamed jumla wa msada wa vyakula pamoja na mbuzi vilitolewa na kampuni hiyo kwenye vituo vya watato yatima vyenye thamani ya milioni 5.
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya simu Tanzania TTCL BW. Said Amir akimkabidhi Bw. Omary Ally wa kituo cha kulelea watoto yatima Kibaha mkoa wa Pwani
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya simu Tanzania TTCL BW. Said Amir akikabidhi msaada kwa ajili ya sikukuu za xmax na mwaka mpya
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya simu Tanzania TTCL BW. Said Amir akiwa katika picha ya pamoja na watoto yatima na walezi baada ya kuwakabidhi msaada kwa ajili ya sikukuu za xmax na mwaka mpya. Mbuzi wakigawiwa kwa vituo vya yatima





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...