Rais wa FIFA Sepp Blatter akitangaza Urusi kama washindi wa kuandaa kombe la Dunia la Mwaka 2018

Prince William wa Uingereza akiwa amejawa na huzuni baada ya Uingereza kupigwa bao na Urusi katika kinyanganyiro cha kuandaa kombe la Dunia mwaka 2018
Warusi wakishangilia punde baada ya kutangazwa washindi wa kuandaa kombe la dunia 2018

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. waingereza wanalia na kusaga meno.Lol

    ReplyDelete
  2. Nitakuwa nafuatilia nione waandaaji watalishughulikia vipi suala la vuvuzela, ambalo nililiongelea hapa.

    ReplyDelete
  3. Leo nchi mbili zimechaguliwa kuandaa kombe la dunia 2018 na 2022 lakini ya pili hujaitaja. QATARrrrrrrrrrrrrr

    ReplyDelete
  4. waache tu ubaguzi sasa hao warusi, sio tunakwenda huko wakatutoe meno yetu.

    ReplyDelete
  5. Tanzania will be the next host. Let's hope.

    ReplyDelete
  6. hahahaha this shows you can buy a world cup,Why it has gone to oil countries?FIFA FIFA,mmmmmmmmm!!!!!
    I am daughting what women should wear in Qatar,just imagine the high temp.people need to swim,need some bears after winning,vuvuzera's parting and so on
    ok let us see ,i am sure many people will not go to Qatar better to watch games on the TV

    ReplyDelete
  7. TAnzania lini ?

    ReplyDelete
  8. we msemaji wa mwisho hayo tena yako tunataka kuangalia mpira sio mambo mengine na watu wengi sana watakwenda qatar naomba ukipata nafasi ukatembee qatar ujionee

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...