Mkuu wa udhamini wa Vodacom Tanzania George Rwehumbiza(kushoto)akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 190 Katibu Mkuu wa Cecafa Nicholas Musonye,kwa udhamini wa shindano la kombe la Tusker,katikati Makamu Rais wa TFF Athumani Nyamlani.
.Rais wa Cecafa na TFF Leodgar Tenga akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa makabidhiano ya shilingi milion 190 kutoka Vodacom Tanzania ambao wameamua kudhamini mashindano ya kombe la Tusker ,katikati Mkuu wa udhamini wa Vodacom Tanzania George Rwehumbiza,kushoto na Mkurugenzi wa Michezo Bw. Leonard Thadeo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. see what is happening in the other part of tanzania http://gsengo.blogspot.com/2010/12/mkutano-wa-uwekezaji-bonde-la-ziwa.html

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...