Wahitimu wa Shahada ya Mawasiliano ya Umma katika Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro , Ashura Ally ( kulia) akipongezwa kwa kuhitimu masomo yao na Mkuu wa Chuo Kikuu hicho, Hajjat Mwatumu Malale ( kati kati) , akiwa pamaoja na mhitimu mwenzake Deborah Mallaba ( kushoto) , wakati wa mahafali ya tatu ya wanafunzi wa Chuo Kikuu hicho yaliyofanyika Chuonihapo. Picha na John Nditi wa Globu ya Jamii
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro, Hajjat Mwatumu Malale ( watatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Chuo Kikuu hicho na wageni wengine waalikwa wakati wa mahafali ya tatu
Sehemu ya wahitimu waliokula nondozzz Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro, wakati wa mahafali ya tatu yaliyofanyika chuoni hao wikiendi hii
JK wahi uteuzi hapo. Na sisi tunakula nondo, jamani si mnacheki? Nasikia chuo hiki Afrika kinashika nafasi za juu kichizi, hata UDSM haioni ndani. Pigeni kelele sasa.
ReplyDeletehongera wahitimu. yaani picha na wenyewe wametulia ile mbaya. yote ni nuru mashallah.
ReplyDeleteHuu ni mwanzo mzuri baada ya kipindi cha ukoloni miaka 70 na uhuru miaka 50. Jumla 120 ya usingizi. Ukoloni mbaya saana.
ReplyDeleteKuna anaejua official website ya chuo hiki? ahsanteni sana
ReplyDeletesister ashura hongera sana, allah akupe werevu zaidi. nakumbuka jitahada zako tangu haramain. hongera sana kwa mwanamke kijikomboa.
ReplyDeletenduguyo from jp.
atanurdin@ymail.com
aaaaaaaammmmmmm. maneno yamenipotea..but...
ReplyDeleteAlhamdullah, haki ya mtu haipotei, maneno ni mazito naachia hapa, kwa kuwaombea wahitimu wote wafanikishe ndoto zao.
ReplyDelete