





Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Majaji wanawake wenzetu, asilimia kbwa yet sisi wakina mama bado tunapigwa na waume zetu, tkishtaki hakuna haki kamili kwa mwanamke, mabinti zetu bado wanbakwa na jamii mitaani, wanuwawa, hakuna haki kamili kwenye mahakama, haswa mwenye kosa akiwa na pesa. Wakinamama vijijini bado tunabeba maji vichwani, hakuna maji safi kwa familia zetu, hakuna nishati ya kutusaidia kurahisihsa kazi zetu, ina maan hata wale wa mjini hawana hata umeme wa kuwasidia kurahisisha kazi zao. Je wakina mama majaji tunaomba mkiwa huko juu mtuwakilishe na sisi wamama wa vijijini ili tuweze kunufaika hata kuweza kupeleka mabinti zetu shule pia, ili waweze kuondokana na huu umaskini wa hali ya juu huku vijijini kwani sisi wakina mama wakulima tunalima lakini pesa ya ya akina baba kwani mashamba ni yao, na kama unavyojuwa tunakwenda hsambani wote siku akiamka vizuri lakini akitoka shamba yeye anpitia kilabuni na mimi naelekea nyumbani kushemsha maji yake ya kuoga na shungulia nyingine za nyumbani. Tunaomba muwe sauti kwetu na kutusaidia kufahamu haki zetu wakina mama.
ReplyDeleteMwanamke akifiwa na mumewew mali zinachukuliwa, Kupigwa bado wanapigwa kama watoto wadogo, mirathi ndio hivyo mzee asipoandika will basi wasichana hawapati kitu...Je majudge mnajua hayo? Tungeni basi sheria mpya kama hazipo au zilizopo zirekebisheni .Equality....equality.....Binadamu wote ni sawa
ReplyDelete