Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Jamani nimetamani kweli kuhusika kwenye hili kongamano.
    Waandaaji watu wa mikoani mnatufikiriaje?

    ReplyDelete
  2. Safi UDSM. Tuleteeni pia Kongamano la Kuutokemeza Ufisadi na Mafisadi!

    ReplyDelete
  3. wekeni live kwny tv hilo kongamano ili nasi wa mikoani tupate kufatilia kwa karibu

    ReplyDelete
  4. I m proud of you UDSM. Hekima ni uhuru

    ReplyDelete
  5. Mdau anayelalamikia kuutokomeza ufisadi na mafisadi ni kwamba iwapo mchakato wa kupata katiba mpya utakuwa wa dhati hapana shaka tutapata katiba muafaka ambayo itakuwa ndio nguzo ya kutokomeza ufisadi. Kumbuka ufisadi ni kama ka-mfumo (kleptocracy) kalikojificha ndani ya mfumo halali wa dola. Katiba ya sasa inatoa mwanya kwa dola halali kukakumbatia ka-mfumo hako! Ukipata katiba nzuri, umepata dawa ya ufisadi. Kwa hiyo unga mkono harakati za kudai katiba muafaka mengine yatafuata mkondo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...