Marehemu Mzee Godwin A.M .Kobole

Leo ni miaka miwili tangu ulipotutoka tarehe 20/01/2009
na mazishi kufanyika hapa Dar-es-salaam tarehe 23/01/2009.


Upendo wako na busara zako katika kuiongoza Familia na ndugu umetuimarisha na kutupa matumaini na amani katika maisha yetu.Leo hatupo na wewe kimwili,lakini ni dhahiri siku zote upo nasi kwenye nyoyo zetu daima.

Unakumbukwa na Mke wako,Watoto wako,Wajukuu wako,Ndugu,Jamaa na Marafiki wote.
Mungu Mwenyezi tunamuomba aendelee kukubariki na kuiweka Roho yako mahali pema.

AMINA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Pole sana, Baba Vieira,ni mapenzi ya Mungu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...