


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hongera Mh Mbunge, umeanza kazi ila inabidi kuwa makini maana mambo ni mengi na siyo rahisi kuyapitia binafsi yote. Leo huko sokoni, kesho hospitali, yale yale ya sokoni nako vyoo vimeoza, dawa hakuna, ukweli ni kwamba tunahitaji kuweka mifumo inayofanya kazi. Vyoo wekeni vya kulipia na vijiendeshe vyenyewe. Soko wanaotakiwa kutupa taka wakishapewa pesa zinakwenda wapi, mfumo wa ku-outsource ni mzuri. Tuamke tuige ya wenzetu tujikomboe.
ReplyDeleteNdugu zangu wa Morogoro, binafsisha vyoo hivyo. Hakuna mambo ya kuomba msaada wa kujengewa vyoo, hayo yamepitwa na wakati. Mwache mbunge afanye mambo ya maendeleo
ReplyDelete