Ankal Michuzi,
Namtafuta ndugu yangu huyo pichani (juu), anaitwa Waafah. Picha hii niliachiwa na marehemu baba yake. Najua aliondoka siku nyingi hapa Dar kwenda kuishi Marekani, ila nasikia mama yake bado anaishi hapa hapa Dar. Yeyote mwenye kumfahamu tafadhali naomba anijulishe email yangu ni
allysingoi@gmail.com
ntashukuru wadau wa blog hii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mdau kwa muonekano hii picha ya zamani.
    Hujatoa jina kamili la mhusika, katika ulimwenhu wa sasa unatakiwa kuttoa details za kutosha ili usaidiwe. Ni mtazamo tu

    ReplyDelete
  2. Uliachiwa picha na baba yake ili uifanyie nini? na wewe ni nani yake? Watanzania sisi sote ni ndugu, ndio utamaduni wetu. Ningekushauri uweke details za kutosha, mfano hiyo picha ni ya mwaka gani, wewe ni nani na huko wapi, huyu ni ndugu yako kwa jinsi gani, dada, binamu, mpwa n.k. halafu jina la mama yake na labda sababu ya kumtafuta. Nafikiri uweke tangazo lingine na useme huyo baba yake aliyekuachia picha alikuwa nani (jina) na kama mlikuwa na uhusiano (baba, mjomba. Kila la kheri

    ReplyDelete
  3. mwenye kuomba msaada tutani nimetuma email nijibu tuwasiliane

    ReplyDelete
  4. KUNA MASWALI MENGI YA KUMUULIZA MTAFUTAJI.NI VYEMA UKAJIU MASWALI YALIYOTANGULIA KAMA UNATAKA MSAADA WA KWELI. HAKUNA MTU ATAKAYE KUKUSAIDIA KIREJA REJA NAMNA HII NA MWISHO WAKE UKAWA MBAYA KWA DADA YETU ENDAPO ATAPATIKANA.PLEASE BE SERIOUS.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...