BoldKatika kuhakikisha tunafikisha maarifa kwa jamii kwa njia mbalimbali,timu nzima ya AfroITimeanza kutengeneza Poscast zinazohusu masuala ya ICT,huu ni mwanzo ambapo siku zinavyosonga tutakuwa na mambo mengi tofauti huku tukiwashirikisha wadau wengi zaidi kutoka katika vitengo mbalimbali ambapo ICT ina mchango mkubwa.Kushiriki kwenye Podcast tuandikie kwenye podcast@afroit.com .
Kusikiliza bofya HAPA
au play kama inavyoonekana kwenye picha

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mimi si mjuzi wa podcast ila ningelipenda kusikiliza huduma zenu, jee mnaweza kuniongoza ni namna gani ninaweza ku-dowload na nina hitaji kuwa na vifaa gani ili kuweza kusikiliza? ahsanteni sana.

    P/S hingera kwa jitihada zenu nzuri sana.

    mtanzania

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...