Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Bwana Michuzi. Heshima yako ndugu yangu. Baada ya salamu, hivi kweli kulikuwa na sababu ya kuweka gari hilo kwenye blogu yako? Kwa nini umeamua kabisa kuweka license plate ya mtu kwenye uwanja wa wazi hapa? Namuelewa huyu zumbukuku aliyeandia kwenye vumbi la gari, ndiyo yeye ni zumbukuku, sasa wewe uliyeweka hadharani hii ulikuwa unafikiria nini? Hasa hapo katika kutanganza hiyo number plate? Si uungwana ndugu yangu najua unaelewa hiyo labda ulisahau.

    ReplyDelete
  2. Ebu acha kumaind vitu vidogo kwani ni lako? we kwani linauathiri kivipi? watu wengine kila saa roho ngumu tu kama wanakamuliwa kijipu uchungu, uwe unachekacheka kuongeza siku na kupunguza stress we mdau hapo juu!

    ReplyDelete
  3. MDAU WA KWANZA NAKUBALIANA NA WEWE,HATA MIMI SIJUI MISUPU ALIKUWA ANAFIKILIA NINI KUWEKA HILO GARI KWENYE GLOB YAKE.SOEMTIMES KAMA HAUNA VITU VYA KUWEKA NI BORA BLOG IKAE TUPU.
    MDAU oslo ,Norway

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...