Home
Unlabelled
VIJANA 11 KUTOKA TANZANIA KUELEKEA NCHINI JAPAN KUSHIRIKI PROGRAM YA MELI YA VIJANA YA KIMATAIFA 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Tunawakaribisha sana,waambie wabebe makoti maana ndo kinachanganya.
ReplyDeleteTena mkienda msepe hukohuko si mnaona mambo ya mgao umemem bin mwater yanavyodatisha? na mambo mengine mengi ya maudhi huko home sweet!!
ReplyDeleteNawatakia kila la heri
ReplyDeleteAngalieni sasn na mjitahisi kudumisha mila za kitanzania,,i hope makoti mumeyabeba,,,,
Kuweni makni mkiw akweney nyumba za watu mkifika,,msionyeshe njaa zenu sana,,,jitahididni kujenga net work nzuri n avijana wenzenu,,japo it will a time kuja kumature,,i mean kuja kulipa
Msiwe wanyonge sana,,mjichanganye na wenzenu,,kwenye kula msikae sehemu moja watanznia wote,,jichanganyeni na wenzenu,,kuweni wadadisi,,,kuwni wajanja,,msishangae shangae sana,,,mana wengi wenu najua mtakuw ani wageni kwa nchi ile,,kuweni makini mnapokuw acall of port,,someni instruction vizuri,,msipotee,,jitahidini kwenda na muda
Any way nayasema haya yote kwa sababu nimeishi japan,,na nilishawahi kuhudhuria program hii,,naijua jinsi ilivo,,na hayo ndio mambo yalivo,,,il amtakula bata kimtindo,,its more of relaxing but no monetary gain,,kw ahiyo kw awale wenzangu na mimi msidhani mtarudi na magari,,ila create nert wok kw aajili ya huko baadae
Mimi ths year naenda PHD kwa ajili ya mchongo wa MELI
Poa mazee
Mama Shaidi mungu akubariki na akupe moyo wa kupend avijana w akitanzania
Truly your a mother,,God bless you,
Mama Mtenga na idara nzima ya vijana BIG UP