Mhe. William Lukuvi,Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) (pichani) atatembelea ofisi ya Tume ya Kuratibu Udhibiti wa Dawa za Kulevya kesho tarehe 07/01/2011 siku ya Ijumaa saa 3 Asubuhi.

Mhe, Lukuvi atatembelea Ofisi hizo za Tume zilizopo Upanga, barabara ya Mariki kitalu Na. 434, kupata taarifa ya utendaji wa kazi na kutoa maelekezo ya utendaji huo wa shughuli za kila siku za Tume katika kutekeleza jukumu lake la Kuratibu udhibiti wa dawa za kulevya ikiwa ni moja ya taasisi zilizo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...