Mshambuliaji wa Azam FC, Mrisho Ngasa akichuana na beki wa JKT Ruvu, Damasi Makwaya wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Uhuru. Azam imeshinda 2-0.
Mshambuliaji wa Azam, Ibrahimu Chimwanga (shoto) akitafuta mbinu za kumtoka kiungo mshambuliaji wa JKT Ruvu, Mwinyi Kazimoto wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Uhuru. Azam imeshinda 2-0.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. africa ni africa tu hizo jezi zinakaribia kufanana lakini wameruhusiwa kuchezea inaonekana hakukuwa na jezi za ziada ili wasifanane

    japokuwa kuna wengine watasema zinatofautiana lakini tofauti yake sio kubwa maana zote zina njano na zote zina bluu kwa huku wenzetu wa majuu hata zikifanana rangi moja tu wanabadilisha.

    najisemea tu just maoni.

    ReplyDelete
  2. Ndio maana tunapaita AFRICA na kwingine panaitwa majuu au vipi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...