MAREHEMU SAIDATY AYOUB MFILINGE

MPENDWA NDUGU YETU SAIDATY AYOUB MFILINGE LEO TAREHE 21 FEB 2011, UMETIMIZA MWAKA MMOJA TANGU UTUTOKE KATIKA DUNIA HII.HAKUNA SIKU IPITAYO KWETU BILA KUKUMBUKA KWA UPENDO NA UKARIMU ULIOKUWA NAO KWA NDUGU ZAKO WOTE PAMOJA NA JAMAA ZAKO WOTE.

UNAKUMBUKWA SANA NA MAMA YAKO AMBAYE UMEMUACHA NA MAJONZI MAKUBWA SANA TANGU ULIPOONDOKA HAPA DUNIANI. UNAKUMBUKWA PIA NA NDUGU NA JAMAA ZAKO WOTE.

MWENYE EZI MUNGU AKUWEKE MAHALA PEMA PEPONI,

AMINA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mungu aipumzishe roho yake mahala pema peponi..kwani sisi wote ni wa Allah nasi kwake tutarejea.

    ReplyDelete
  2. Mwenye ezi Mungu Amuweke Mahala Pema Peponi, yeye ametangulia nasi tuko nyuma yake.

    ReplyDelete
  3. Upumzike kwa amani Datty...

    ReplyDelete
  4. May you rest in peace my dear wifi. I miss you so much and so is your brother and nephew. You will always be in our hearts.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...