Meneja wa Bia ya Kilimanjaro,George Kavishe akizungumza leo mbele ya waandishi wa habari waliofika katika mkutano wa utambulisho wa majina ya wanamuziki bora kwa mwaka 2011 (NOMINIES) katika ukumbi wa mikitano wa kampuni ya bia Tanzania.kulia ni Mratibu wa Tuzo za BASATA,Angello Luhala.
Mratibu wa Tuzo za BASATA,Angello Luhala akisoma majina ya wanamuziki bora kwa mwaka 2011 walioingia katika kinyang'anyiro cha Kili Music Awards 2011.kushoto ni Meneja wa Bia ya Kilimanjaro ambao ndio wadhamini wakuu wa Tuzo hizo,George Kavishe.
Mkaguzi wa Tuzo kutoka INNOVEX,Lloyd Zhungu akikabidhi bahasha yenye majina ya wanamuziki bora wa mwaka 2011 kwa Mratibu wa Tuzo za BASATA,Angello Luhala huku Meneja wa Bia ya Kilimanjaro akishuhudia tukio hilo.






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Pongezi kwa wale waliofanikiwa kupita na kuingia kwenye kinyang'anyiro cha mwaka huu.

    Tembeatz.blogspot.com

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...