Mwakilishi mkaazi wa UNOPS nchini Sierra Leone Bw. Omary Mjenga akiwa na mkuu wa majeshi ya ulinzi ya Sierra Leone Maj. Gen. Yira Koroma (wa tatu toka shoto) baada ya mazungumzo yao kuhusu mradi wa ujenzi wa nyumba za wanajeshi na barracks, mradi utakaosimamiwa na UNOPS. Wanne ni afisa jeshi wa UN Bw. Chris Atere kutoka afisi ya umoja wa mataifa ya Sierra Leone UNIPSIL na maafisa wengine waandamizi.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Kwa Gadafi kuna chemka ...Mtoto wake antaongea live muda si mrefu...Utawala wa wakurishishana...Kwa nini mtoto aongee yeye ni nani? Kwani baba akiwa raisi ndio mtoto aongee????Damn kingship

    ReplyDelete
  2. Hongera Kijana Mujenga kwa majukumu mapya huko Umoja wa Mataifa. Tunakutakia kila la kheri. Tunakuomba uchape kazi na usiendekeze popularity za kwenye mitandao;
    Rafikizako wa Arusha

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...