Home
Unlabelled
shule ya msingi nanihii
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Waswahili wengi Kiswahili kinawapiga Chenga Nyoko ni kiswahili maana yake ni mamayako kama vile neno Mwana ni Mtoto.
ReplyDeletehahahaha anony wa 04.06pm umenifungua macho. mie najua hilo neno linatumika kutukana mtu....
ReplyDeleteTukumbuke pia kuwa kuna maneno mengi ya lugha mbali mbali ukiyalinganisha na kiswahili yanakuwa matusi,kwa hiyo tuyachukulie maneno haya kulingana na sehemu au nchi husika,kwa mfano mimi mtanzania niishie Japan,nilipokuwa mgeni niligundua kuwa kuna maneno mengi ya kijapani yanayofanana na kiswahili,na baadhi ya hayo huko kwetu ni matusi,ndipo nikajakuzoea na kuona ni kawaida tu kwa kuwa maneno haya yanatumika huku tuliko,maaneno kama "kumamoto"jina la mji fulani mkubwa kusini mwa Japan,au jina la mnyama bear(dubu)kwa kijapani anaitwa "kuma"nk,kwa hiyo hata hiyo nyoko huko uganda ni neno la kawaida tu na si tusi kama tujuavyo waswahili.
ReplyDeletemtoa maoni Tokyo,Japan.
hiyo ni kenya, ambako wanatumia cuntie and subcounties badala ya maregion na mawilaya etc. hiyo nyoko haina maana mbaya kama mnavyotaka kuonesha.
ReplyDeletehivi ukienda kule libreville gabon ukaambiwa 'mboro/mbolo mwanamboka' utajibu vipi? ni salaam tu hiyo bro.
hakuna chochote cha ajabu hapo
Mwakani nitahamia Nyoko
ReplyDeleteNi kukumbusha tu kuwa DRC,(Congo)pia kuna kijiji kimoja kiitwacho"Mavuzi"nakumbuka hata ankal aliwahi kutembelea kujiji hiki na akaonekena akipozi ktk bango lionyeshalo jina hili,kama ni kiswahihili ???utajaza mwenyewe.maajabu ya lugha haya !!!.kijiji kuitwa mavuzi !!!
ReplyDeleteasanteni.
Nyoko haimaanishi 'mama' ila NYAKO ndio linamaanisha 'mama'
ReplyDelete