Waratibu wa tuzo za Muziki wa Injili Tanzania (Tanzania Gospel Music Awards 2011),pichani kati ni Bwa. Haris Kapiga akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari mapema leo asubuhi kwenye viwanja vya Lidaz Club,kuhusiana na mchakato mzima wa kuyataja majina matano kwa kila kundi ,yaliyoteuliwa kushiriki kwenye tuzo hizo,ambazo zinatarajiwa kufanyika Machi 13 katika ukumbi wa Diamond Jubilee,jijini Dar.Ukitaka kupiga kura ya mshindi,unachotakiwa ni kuchagua jina la mshiriki na kutuma kwenye namba 15522.Pichani shoto ni Meneja huduma za Elimu na Jamii kupitia mradi wa kupambana na Malaria wa ZINDUKA,Mama Sadaka na kulia ni Mmoja wa waratibu wa tuzo hizo,Michael NKya.

Bofya zaidi kuyasoma majina ya washiriki kwa kila kundi yaliopo kwenye karatasi hii hapa chini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mbona short notice hivyo

    ReplyDelete
  2. It is about time...Congratulations

    ReplyDelete
  3. kunye hiyo karatasi maneno hayasomeki kabisa tunapenda kupiga kura lakini maneno hayaonekani kabisa ktk karatasi hiyo hebu jaribu kuandika kwa herufi kubwa inayoonekana

    ReplyDelete
  4. Mbona nikijaribu kupiga kura naambiwa nimekosea code? na wakati nimetumia namba 15522 mliyoitaja?
    inakuwaje hapa????

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...