MWALI ATAYEGOMBEWA NA KAMPUNI ZINAZOJIUSISHA NA HUDUMA ZA KITALII HUKO VISIWANI ZANZIBAR AMEFICHULIWA LEO RASMI TAYARI KWA MTANANGE HUO SIKU YA MEI MOSI JUMAPILI KATIKA BONANZA LA MPIRA WA MIGUU, LITAKALO FANYIKA KWENYE UWANJA WA MAO TSE TUNG.


LENGO NI KUKUTANA NA KUFURAHI PAMOJA

NJE YA MAJUKUMU YETU YA KAZI.

WASHIRIKI NI ZANZIBAR SERENA INN, THE RESIDENCE, ZANTEL, THE MONIVARO GROUP, FISHERMAN TOURS NA ZAMANI KEMPINSKI. BONANZA LIANZA SAA MBILI ASUBUHI MPAKA SAA TISA MCHANA.

TUNATARAJIA BONANZA LILATAKOLO KUWA NA HAMASA KUBWA NA KUACHA GUMZO ZANZIBAR, LIKISINDIKIZWA NA MUZIKI MKUBWA

KAMA WEWE MPENDA SOKA NJOO USHUHUDIE VIPAJI VILIVYOJIFICHA KWENYE HII SEKTA USIACHE KUMWAMBIA MWENZAKO KWANI HATAKUPENDA TENA AKIKOSA KUWEPO.

Charles Kisaka
Assistant Front Office Manager
Zanzibar Serena Inn
Zanzibar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...