Align Center
Hayati Sheikh Ali Samin Jaha

Assalaam Alaikum,

Inna lillahi wa inna ilaihi raajiuun. Jumuiya ya Watanzania Leicester, Uingereza inasikitika kutangaza kifo cha ndugu yao, Sheikh Ali Salmin Jaha, kilichotokea tarehe 27 Aprili 2011. Maiti itaswaliwa saa kumi na moja na nusu jioni (5.30 pm) Leicester Central Mosque, Conduit Street, LE2 OJN. Karibu na train station.

Mwili wa marehemu utasafirishwa siku ya jumamosi tarehe 30 Aprili 2011 kuelekea Dar es salaam inshaAllah na pia mazishi yanatarajiwa kufanyika siku ya jumaapili tarehe 1 may 2011

Kwa yeyote mwenye mchango wake wa hali na mali awasiliane nasi kwa namba zifuatazo:

Namba za simu : Suwedi Abdallah +447796080601

Salim Awadh +447949421087

Rashid Saadallah +447896916032

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...