
Assalaam Alaikum,
Inna lillahi wa inna ilaihi raajiuun. Jumuiya ya Watanzania Leicester, Uingereza inasikitika kutangaza kifo cha ndugu yao, Sheikh Ali Salmin Jaha, kilichotokea tarehe 27 Aprili 2011. Maiti itaswaliwa saa kumi na moja na nusu jioni (5.30 pm) Leicester Central Mosque, Conduit Street, LE2 OJN. Karibu na train station.
Mwili wa marehemu utasafirishwa siku ya jumamosi tarehe 30 Aprili 2011 kuelekea Dar es salaam inshaAllah na pia mazishi yanatarajiwa kufanyika siku ya jumaapili tarehe 1 may 2011
Kwa yeyote mwenye mchango wake wa hali na mali awasiliane nasi kwa namba zifuatazo:
Namba za simu : Suwedi Abdallah +447796080601
Salim Awadh +447949421087
Rashid Saadallah +447896916032
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...