Manchester United had no answer to a brilliant Barcelona side as Pep 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 29, 2011

    kaka misoup messi nomaaaaa eti mashabiki wa man u wanalinganisha messi na roony huo ukichaa ama kweli guadiola kasema kweli man u miguvu mingi barca ujuzi duuuuuuuuuu bora asenalll kuliko man aibuuuuuu
    kakaaaa lukin hongera kucheza final watu wanguuu

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 29, 2011

    Que Golazo! Que Golazooo! GOOOOOOOOOOL!!!! La Pulga Leo Messi!!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 29, 2011

    hamna hali ya kuchafuka.
    Sasa hali shwari.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 29, 2011

    Hiyo fainali ilikuwa ni fundisho lililotolewa na Barcelona kwa Man U. Kwa kimombo "Barcelona gave Man U a lesson in football". Man U wakaishia kucheza "long balls" na mieleka.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 29, 2011

    Mchezaji bora wa Manchester alikuwa ni kipa wao Edwin Van Der Saar, vinginevyo matokeo yangelikuwa Barca 7 United 1. United hovyo kabisa hawajui mpira, jina tu...ha ha ha......

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 29, 2011

    ohh sijui rooney hivi vidic vile lakini mmeona soccer linavyotakiwa kucheza, hata fergie amekiri kuwa man u walizidiwa vibaya sana sana sana katika idara zote, lol. congrats barca & king messi.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 29, 2011

    Anon wa kwanza nakubaliana na wewe 100%. Ni wehu kuwalinganisha Rooney na mfalme wa soka duniani Lionel Messi. Wako katika class tofauti: Messi super top class na Rooney third rate. Barca wanacheza soka hasa United ni wababaishaji tu.

    ReplyDelete
  8. Common mwananchiMay 29, 2011

    Kufungwa ni sehemu ya mchezo, lakini inapotokea unafungwa goli 3 kwa 1 kwa ball possession ya 66 kwa 33% ni kama haukuwepo uwanjani. Yaani mpira aliocheza Barcelona jana ni wa hali ya juu kabisa na kusisimua. Kuna wakati nilikuwa najisahahu na kudhani ni mechi ya Bercelona na Bandari Mtwara.

    Man U mlidhani Arsenal ndio kibonde cha Bercelona tu? Kumbe nyie ndio vibonde zaidi. Hakumcheza kitu jana, nyie ni wababe wa west Ham na Fulham tu.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 29, 2011

    hakuna lakushangaza hapa, barca ni wakali na kila team iliyocheza na barca possesion huwa inakuwa tofauti sana kutokana na hawa jamaa kumiliki mpira vizuri, nachoona hapa ni wengi wenu kuwa na wivu tu kuwa man.utd kafika fainali basi, jitahidi na nyie kina arsenal, chelsea, liverpool, man.city najua ipo siku yenu pia

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 29, 2011

    Nasisi Simba tulifungwa dakika za mwisho!!

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 29, 2011

    Fergie is still breathing, he was shaking like a leaf­ last night.loving it.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...