Viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), wakiongoza maandamano ya amani ya chama hicho, katika mfululizo wa maandamano katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, yaliyofanyika mjini Songea leo
Maelfu ya wananchi wa mji wa Songea na vitongoji vyake, wakiwa katika maandamano ya amani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yaliyofanyika mjini Songea na kufuatiwa na mkutano wa hadhara
Viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), wakiongoza maandamano ya amani ya chama hicho, katika mfululizo wa maandamano katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, yaliyofanyika mjini Songea (Picha na Joseph Senga)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 14, 2011

    CHADEMA UCHAGUZI UMEPITA,BADO MNAANDAMANA NINI BARABARANI KUZUIA WANANCHI KUFANYA KAZI? SUBIRINI 2015 UCHAGUZI.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 14, 2011

    Jitahidini hivyohivyo bado mnakazi kubwa sana ya kujitangaza chadema msilale chama bado kidogo sana.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 14, 2011

    People's power!

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 15, 2011

    hivyo ndivyo inatakiwa Chadema.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...