Ni miaka miwili toka mama yetu mpendwa Mary Donata Watondoha kututoka,daima watoto,wajukuu ndugu jamaa na marafiki tunakukumbuka.Ulipendwa sana hapa duniana ila mwenyezi wa yote alikupenda zaidi na tunakuombea upumzike kwa Amani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 31, 2011

    R I P SHANGAZI WE MIS U

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 31, 2011

    R I P MPENDWA MAMA MARY
    By Dunda

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...