Marehemu Happy Kulanga (kushoto ) enzi za uhai wake akipokea cheti chake katika moja kati ya mafunzo ya uandishi wa habari za mazingira (JET)
Safari ya mwisho ya mwanahabari wa gazeti la Mtanzania mkoa wa Ruvuma Happy Kulanga.
Mazishi ya mwanahabari Happy Kulanga leo
Mwanahabari Francis Godwin (kushoto) akitoa salama za rambi rambi kutoka Ruvuma Press Club na toka Gazeti la Mtanzania ambalo marehemu alikuwa akilifanyia kazi kama mwandishi mkoa wa Ruvuma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 16, 2011

    jamani poleni ruvuma.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 16, 2011

    Poleni familia na kazini kwa marehemu.

    Ninachoipendea bongo huwezi kujua dini ya mtu kwa jina tuu.

    Hii ni hatua kubwa duniani kuliko nchi zote hasa zenye kujidai zina usawa lakini zikiwa na udini kisirisiri.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 16, 2011

    Kwa hapo upo sahihi kwani hata marehemu Komredi Moses Nnauye (Baba yake Nape Nnauye wa CCM) alikuwa ni muislamu ingawa hakuna aliyefahamu hadi siku ya kuzikwa kwake. Ingawa hata hivyo usisahau kwamba hapo zamani tabia hii ilikuwapo kutokana na watu kuogopa kubaguliwa hasa katika mashule na makazini kutokana na misingi ya dini zao, wapo wengi mno na sina haja ya kuwataja kwa majina, na mbaya zaidi wengi walifelishwa mashuleni kwa sababu tu ya majina regardless how intelligent they were!!!

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 17, 2011

    Kama inafikia watu kubadilisha majina ili kuepuka ubaguzi basi serikali imelala saana au ni lengo la baadhi ya wakuu serikalini kwa makusudi kisirisiri.

    Katiba ya sasa inatakiwa kujibu hili ili watu woote wawe huru kukaa na majina yao bila kuadhibiwa kielimu, kijamii, kirafiki, kikazi, kisheria, kihuduma, kibiashara n.k.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...