Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Hadji Mponda (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Bi. Rutgard Kagaruki mmoja wa wahamasishaji walio katika mapambano dhidi ya matumizi ya bidhaa za tumbaku nchini kutoka asasi ya kiraia inayopiga vita matumizi ya bidhaa za tumbaku nchini (Tanzania Tobacco Control Forum) wakati alipotembelea banda la maonyesho la asasi hiyo wilayani Bagamoyo leo.
Wanafunzi wa Chuo cha Sanaa Bagamoyo (TASuBA) wakiwasilisha ujumbe unaopiga vita matumizi ya bidhaa za tumbaku wakati wa maadhimisho ya Siku ya kutotumia tumbaku Duniani leo wilayani Bagamoyo.Picha na Aron Msigwa – MAELEZO.


London School of Hygiene and Tropical Medicine, kwa ushirikiano na British High Commision wameandaa Dinner kwa watanzania waliomaliza chuoni hapo kesho saa 12 na nusu jioni pale Double Tree Hotel. Issa unakaribishwa sana, ili wenzetu waliomaliza shule ulaya na kung'ang'ania huko huko wapate kuona wenzao waliomaliza na kurudi nyumbani wana maisha gani?. Kwanza tulitumiwa form kujaza tupo wapi na tunafanya nini. Nilishangaa sana kuona wote tunahold post za juu kwenye wizara na International organisation mbalimbali. Chakula ni bure nawe kama mgeni unakaribishwa ili utoe kwenye globu yako yenye kuwafikia wengi huko nje. Mgeni rasmi ni Balozi wa UK hapa nchini. Tushirikianekuwatia hamasa ndugu zetu wenye degree, master and PhD holders lakini bado wanang'ang'ana na kazi zisizofaa ulya na marekani. Mungu bariki Tanzani, Mungu saidia wasomi wetu warudi nyumbani.
ReplyDeleteHivi ule mpango wa kuuza TUMBAKU Iran na wapi sijui bado upo?
ReplyDelete