Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akishiriki kucheza ngoma ya Kinyatulu ya kufunda mgeni, kukundi cha ngoma hiyo kilipotumbuiza kwenye mkutano wa Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM taifa, uliofanyika katika Kijiji cha Mgori, Singida Vijijini.
Katibu wa NEC Oganaizesheni Asha Juma Abdallah akishangiliwa baada ya kuvishwa vazi la Kinyatulu, katika kijiji cha Mgori, Singida Vijijini. Kushoto ni Mbunge wa Iramba Mashariki, Salome Mwambu na Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Singida Martha Mlata.
Msafara wa wajumbe wa Sekretarieti ya CCM taifa, ukikagua ujenzi wa tangi la maji la mradi wa Maji wa Mwankoko utakaohudumia Singida mjini, jana.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM, John Chiligati akisaidia kuchimba mtaro wa mambomba kwenye mradi wa maji wa Mwankoko utakaohudumia wakazi wa Singida mjini, juzi. Wanaoshuhudia ni Katibu wa NEC, Oganaizesheni Asha Juma Abdallah na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.



Chama cha CHADEMA chajenga N'nji,Kiitikio: Chama cha CHADEMA chajenga n'nji, CHADEMA haaaaaa, CHADEMA chajenga n;nji!
ReplyDeleteOh sory wajemeni, mie nilifikiri ni CHADEMA kumbe hao hapo juu ni CCM GAMBA!
bora mandamano na kusema uongo au kujitolea kusaidia miradi ya kusaidia wananchi. Tafauti ipo bwana mkitaka msitake. Operation sangara excel itawazima. You are still young CHADEMA ole wenu Nyerere kafa, angalikuwa hai mngelifyata mkia.
ReplyDeleteanko umebana comment yangu... siku njema
ReplyDelete