![]() |
| The late Neindiwe Joshua Kivira |
Mama died on June 12th, 2011 after a two year battle with complications arising from spinal surgery.
Born on September 20th 1948; Mama Kivaria worked all her life in the airline industry in Tanzania; she will be sorely missed by friends and family.
Her wake is being held at the family residence in Mbezi Beach, Dar es salaam, opposite Club Oasis; Funeral arrangements are being made and will be communicated later.
Rest in peace Dear Mama!



SIJAELEWA VIZURI NI YULE MAMA MWENYE KASHULE KA CHEKECHEA? TUNAMWITA MAMA KINYAIA NDIO YEYE?
ReplyDeleteMungu awafariji Maria, Natujwa, Anna, Kiva pamoja na ndugu na jamaa katika kipindi cha msiba na kumpoteza mama mpendwa
ReplyDeletePole sana familia ya Kivaria
ReplyDeleteRest in Peace mama. Poleni sana wapendwa; Maria, Natujwa, Kiva-George and Anna! Truly she will be missed.
ReplyDeleteAsha
watu wengine bwana. wewe kinyaia na kivaria wapi na wapi? au hukuona post 2 tofauti. ya mama kinyaia na hii ya mama kivaria? soma post vizuri kabla ya kukurupuka na maoni.
ReplyDeletehalafu hata kutoa pole umeshindwa vile umekalia udaku wa kujua kama ndo mwenye chekechea..puuuuu
poleni wafiwa na may you RIP mama Kivaria.
R.I.P my beloved mama...you will remain to be the best mom in the whole-wide world...thank you for raising the five of us on your own to become who we are today..i love you so much mom...you are not dead and will remain alive in our spirits for ever
ReplyDeletefair thee well my mom, my bestfriend,my confidant till we meet again in heaven
much much love
Poleni sna wapendwa na Mungu awatie nguvu na kuwafariji katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mama.
ReplyDeletePoleni sana ndugu zangu sikuzaliwa naye lakini alipenda alinisaidia,alinikosoa,aliniheshimu hadi na staafu kazi DAHACO, nitakukumbuka daima mama kiva, nilikuwa naitwa mtoto wa mama. REST IN PEACE mama kiva
ReplyDeleteDiana