Askofu Mkuu wa Kanisa katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo akimkaribisha ofisini kwake, Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama jijini Dar es Salaam, ambapo pamoja na mambo  walifanya  mazungumzo ya faragha
Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akisaini kitabu cha wageni Ofisini kwa Askofu Mkuu wa Kanisa katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo. Picha na Bashir Nkoromo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...