Mwalimu Francis Raphael Kitime
Mwalimu Francis Raphael Kitime, baba yake John Kitime (JFK) wa Kilimanjaro Band 'Wana Njenje' leo anafurahia kutimiza hepi besdei yake ya 80 ya kuzaliwa. Na mwanae, JFK, ambaye Jumamosi hii atakuwa Dodoma kutoa mada juu ya Hakimiliki kwa Wah. Wabunge, anashukuru Mungu kwa kumjaalia baba yake umri huo huku akiwa na nguvu zake kama kawa. Globu ya Jami inamwamkia Mwalimu Kitime Shikamoo na kumtakia maisha mema na marefu zaidi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 17, 2011

    Huyu Baba yetu naye ni Mwanamuziki?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 17, 2011

    LOH MWALIMU WANGU 1959 MIDDLE SCHOOL IRINGA, SO HAPPY TO SEE HIM AGAIN ALWAYS SMART. NA ALIKUWA AKIPIGA GITAA HATA MIAKA HIYO TUKIWA BOY SCOUTS

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 17, 2011

    Hongera mzee, umetizimiza miaka 80 ukiwa kama una miaka 60. safi sana Mungu akulinde.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 18, 2011

    Jamani ni baba ya Blandina na Charles, siyo John tu.
    Hongera sana Mwalimu Kitime, na mjasilimari Kitime mnakumbuka duka lake la Mawese lilikuwa pale karibu na Msindo?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...