Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Rais Mstaafu wa Seychelles Mheshimiwa James Manchan kwenye uwanja wa mpira wa mjini Victoria,mji mkuu wa Seychelles wakati wa kuadhimisha sherehe za siku ya Taifa hilo tarehe 18.6.2011.
Rais Jakaya Kikwete akipokewa rasmi na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Seychelles Mheshimiwa James Alix Michel mara tu baada ya kutua kwenye uwanja wa ndege wa Victoria nchini humo tarehe 18.6.2011 kwa ziara ya kikazi ya siku moja. 
Rais Jakaya Kikwete akipokewa rasmi na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Seychelles Mheshimiwa James Alix Michel mara tu baada ya kutua kwenye uwanja wa ndege wa Victoria nchini humo tarehe 18.6.2011 kwa ziara ya kikazi ya siku moja.
Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Seychelles Mheshimiwa James Michel kweye ikulu ya nchi hiyo mjini Victoria tarehe 18.6.2011
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mke wa Rais wa Seychelles Mama Natalie Michel huko ikulu tarehe 18.6.2011
Rais Jakaya Kikwete akipokewa rasmi na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Seychelles Mheshimiwa James Alix Michel mara tu baada ya kutua kwenye uwanja wa ndege wa Victoria nchini humo tarehe 18.6.2011 kwa ziara ya kikazi ya siku moja.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na Rais James Michel wa Jamhuri ya Seychelles kwenye ikulu ya nchi hiyo mjini Victoria tarehe 18.6.2011
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na Natalie Michel  mke wa Rais wa nchi hiyo kwenye ikulu ya nchi hiyo mjini Victoria tarehe 18.6.2011.
Picha  zote na Mdau John Lukuwi






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 21, 2011

    haya JAMHURI YA SHELISHELI NI VISIWA VILIVOMBALI KABISA NA BARA LA AFRICA NA VIPO STABLE HAVIJAVAMIWA TOKEA MAJARIBIO YA MIAKA YA 70 AMBAPO TANZANIA ILIINGILIA KATI.
    SASA NI NCHI TAJIRI YA MWANZO KWA AFRICA MSHAHARA UTAFIKIRI UNAISHI UK,JE ZANZIBAR ATAVAMIA NANI WAKATI TUPO KARIBU ZAIDI NA BARA LA AFRICA?

    HEBU REKEBISHENI MUUNGANO UWE MAMBO YA ULINZI TU KAMA VILE FRANCE NA MONACO.Maana muungano wa kutoleshana ushuru na kubaniana tumechoka nao

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...