*Je, wayajua machungu ya albino Tanzania? Zijue mbinu wanazozitumia kukabiliana na changamoto anuai.
*Shibuda asema; CCM inauchakavu wa fikra. Wataka kujua zaidi ni ki-vipi?
*Wakulima wachoma moto nyumba 23 za wafugaji Sumbawanga.
*Je, wajua milioni 2.6 ya wapiga kura Zimbabwe ni feki?
*Wabunge wa CCM waibana Serikali kuhusu mgawo wa Umeme.
*Marekani yaionya Tanzania juu ya madhara ya Serengeti. Je, wataka kujua undani wa habari hizi, tembelea ‘gazeti’ la mtandao:- www.thehabari.com
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...