Eneo ambalo geti la Lodware ni eneo ambalo lina Nyani wengi. Kwa kipindi kirefu Nyani hawa wamejijengea tabia ya kukwapua vitu mbalimbali ambavyo vinaachwa wazi kwenye magari ya wageni au wakati mwingine kuwapora wageni vitu toka mikononi mwao. Kutokana na ka-tabia haka, mimi hupenda kuwaita Nyani hawa Mateja, nikiwafaninisha na jamaa wa mitaa ya huku mijini wanaokwapua simu na vitu vingine kwenye magari. Habari Kamili na mapicha ya kumwaga mtembelee mdau KK

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 16, 2011

    hawabaki hao mateja?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 16, 2011

    Wanaoongoza watalii wanafanya kazi gani? walitakiwa kuwataarifu watalii wao kuhusu nyani hao. Haya mambo yanatushushia hadhi sana kwani mtalii kama hafurahishwi na nyani hao anaweza asije tena.

    Na kama wapo watalii wanaofurahishwa na tabia ya nyani hao basi ni moja ya mambo yanayoweza kutumika wakati wa advertisement ili kuwavuta wanaohitaji kuona werevu au ujinga wa nyani hao.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 16, 2011

    Kima Punju ni wabaguzi. Wakiona wazungu wanasherekea na kuwafata lakini waafrika wanawachukia. Inawezekana na hao nyani pia nao wabaguzi, bona hawawafati wamasai?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 16, 2011

    We unafikiri hawana akili? Wajua kuwa wamasai wana sime.
    Jambo la kushangaza ni kwa sababu wachopoa side mirror na windscreen wiper, utafikiri wana biashara ya spea za magari

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 16, 2011

    tehe tehe tehe
    kaaazi kweli kweli..ubaguzi upo wanajua wazungu wameleta mlo ndio mana wanawafata...

    ReplyDelete
  6. NILIONA MAKALA MOJA KWENYE TV YA UINGEREZA NA AMERICA HAYO NI MATUKIO YA KAWAIDA NA HAO UNAOSEMA WANAWEZI WASIJE TENA NDIO WANAPATA STORY.
    USIWAONA WAZUNGU NI WATU WABAYA WAKUKATAA KUJA TZ KWA SABABU YA NYANI,WAZUNGU WANAPENDA WANYAMA WEWE MSWAHILI HATA KUFUGA PAKA KWAKO NI ALAMU

    ReplyDelete
  7. inasemekana baada ya miaka kazaa wanyama kama hawa watakuja kuwatawala humain being,sisi tutaitwa wanyama,na wao kujiona kuwa ndio binadamu,kwani ishara tumeziona ndio hizi wameshanza kupata akili,wanajua kupora vitu vya samani tu,kama dhahabu,kamera,simu,hata pesa pia,hehehe baada ya muda mutaona wanaongea kama binadamu,.na hapo ndipo watafanya mapinduzi ya kweli kwa wanadamu,hahaha

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...