| Warembo watakaochuana katika shindano la kumtafuta Vodacom Miss Dar Inter College litakalofanyika Juni 17, Ijumaa, wiki hii kwenye ukumbi wa Sun Cirro uliopo Sinza jijini Dar es Salaam wakiwa katika ukumbi wa Break Point ya mjini katika maadalizi ya mwisho mwisho kabla ya kinyang’anyiro hicho ambapo, mratibu wa shindano hilo, Angela Msangi, amesema kuwa katika kunogesha fainali ya shindano hilo msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya ‘Bongo flava’, Dully Skyes atatumbuiza |
Mazoezi makali
Kila mshiriki yuko tayari






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...