Mgeni rasmi katika mashindano ya Ngoma za Asili,Katibu Tawala wa Wilaya ya Tabora,Bi.Prudencia Kwabila (pili kulia) akikabidhi zawadi ya Tshs 500,000/= kwa mwakilishi wa kikundi (Mwenge Sanaa) kilichoshika nafasi ya kwanza katika fainali za Ngoma za Asili mkoani Tabora, mshindi wa pili ni Magereza Group na ushindi wa tatu ulichukuliwa na Msange JKT, nne ni Milambo Artist Group na tano ni Ugowogowo kutoka Uyui.
Ugowogowo Group kutoka Uyui wakiwa katika picha ya pamoja.
Ngoma zikiendelea.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...