Mabaki ya Mini Benz lililoshika moto usiku huu Kinondoni Biafra jijini Dar. Hadi tunaenda hewani sababu ya kuwaka moto haijajulikana na wenye nalo hawakuwepo kuongea. Ila mashuhuda wanasema Benzi hili likuwa likiendeshwa na mmatumbi akiwa na abiria watatu wazungu. wote walitoka salama na wasamaria wema na majirani walifanya kazi ya ziada kuuzima moto huo kwani uliokuwa karibu na nguzo ya umeme
 Jirani wema walijitolea ndoo na maji ya bomba kuzimia moto huo
 Jirani mwema akizima moto kwa maji
 Sehemu ya umati wa watu ukishuhudia moto huo
 Ndoo na mai ya bomba
 Majirani wakizima moto kwa maji ya bomba
 Umati ukishuhudia
 Msamaria mwema akipambana na moto kwa ndoo uya maji
 Haikuwa kazi rahisi
Mini Benz likiteketea

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 09, 2011

    NAFIKIRI TAKRIBANI MIEZI MITATU ILIYOPITA TANZANIA ILIKUWA IKINADI FIRE ENGINE MPYA AINA YA BAJAJI, MBONA WANANCHI BADO WANAPAMBANA NA MOTO KWA KUTUMIA NDOO ZA MAJI? AMA BAJAJI ZIMESHAANZA KUTUMIKA KAMA DALADALA! MAMBO YA AIBU NA HATARI KWA WAKAZI WA BIAFRA KINONDONI.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 10, 2011

    Aroo nani mtaalamu anajua kwann benzi zaungua sana hasa bongo. Is there any technical difficult about them? yani i have been seen these cases several times.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...