Mtu Mmoja amekufa na wengine takriban arobaini na  sita  wamejeruhiwa vibaya baada ya kutokea mlipuko mkubwa nyuma ya kituo cha mafuta barabara ya  Kirinyaga Road katikati ya jiji la Nairobi na kuleta kizaazaa katika mji huo mkuu wa Kenya. 


Kwa mujibu wa gazeti la kila siku la The Standard, chanzo bado kinatafutwa huku kukiwa na taarifa kwamba huenda matanki ya mafuta yalikuwa yamelipuka na taarifa zingine zinashuku kuwa ni kombora.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...