Beki wa timu ya vijana mkoa wa Tabora Mohamed Hussein Juma (kushoto) akimiliki mpira huku akizongwa na kiungo wa timu ya mkoa wa Iringa, Ramadhan Kihwelo katika mashindano ya vijana chini ya miaka 17 ya Copa Coca-Cola uliofanyika kwenye Uwanja wa Karume Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1. (Picha na Francis Dande).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Saafi Saaana
    I hope hawa watatunzwa na kuipeperusha bendera ya taifa mbali zaidi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...