Misaada kwa wazee wasiojiweza wa Kinondoni, Dar

Siku ya Jumamosi tarehe 11.06.2011 wakiongozwa na mwenyekiti wao Bi Rose Mwapachu wanachama wa Tushikamane Pamoja Foundation  (TPF) walikuwa maeneo ya Kinondoni jijini Dar es salaam kutoa misaada ya vyakula vikavu wa wazee  wasiojiweza na wanaoishi katika mazingira magumu. 

Zoezi hili lilifanyika mbele ya Mwenyekiti serikali za mtaa wa Kisutu Bi Fatuma Msungi. Zoezi hili litaendelea Jumamosi ijayo tarehe 18.062011 eneo la mbagala. TPF tunaomba kama kuna watu wanaopenda kuchangia ilituendelee kusaidia wazee wetu tafadhali tupigie simu. 
0787 558550
 0784 265560
 0787 177077 
utapata maelezo zaidi.

Tunapokea fedha, vyakula vikavu kama mchele, unga sembe, sukari, maharage, majani ya chai, sabuni nk...... pia tuna omba nguo mitumba na mashuka..
Wana TPF na wakinamama wazee wa Kinondoni

Mama wa Kinondoni akipokea msaada 

Kikao cha TPF na wazee wa Kinondoni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...