Afisa Udhamini wa Vodacom Tanzania,Ibrahim Kaude akiwaaga wachezaji wa timu ya Holy Family ya mkoa wa Ruvuma waliokuwa wakielekea Zanzibar kwenye mashinda ya Muungano Cup ambapo watapambana na mshindi wa Zanzibar kesho,kushoto Mratibu wa shindano hilo Daud Yassin.
Mmoja wa wacheza wa timu ya Holy Family ya Mkoa wa Ruvuma akijaribu kuonyesha umahiri wake wa kumili mpira mbele ya Afisa udhamini wa Vodacom Tanzania,Ibrahim Kaude na Mratibu wa shindano la Muungano mara baada ya kukabidhiwa mipira kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya timu ya Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...