Balozi wetu Marekani Mama Mwanaidi Sinare-Maajar na Ankal wakipozi na Supa Modo Veronika Varekova wakati wa lanchi ya usiku aliyoandaa JK Ikulu jijini Dar usiku wa kuamkia leo kwa wawekezaji wa Kimarekani waliokuja Tanzania katika VIP Safari na uwekezaji iliyoandaliwa na ubalozi wetu Washington DC. Veronika pia ni Balozi wa Heshima wa taasisi ya African Wildlife Foundation na keshafanya makubwa katika kuitangaza Tanzania nje baada ya kupanda mlima Kilimanjaro mwaka 2008 na kuvutiwa na wanyama pori. Kwa habari zaidi ya supa modo huyu wa ukweli BOFYA HAPA
Home
Unlabelled
ankal uso kwa uso na balozi wa AWF supa modo veronika varekova
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Michuzi huyu Mrembo sio mwakilishi mzuri wa nchi yetu,anaitangazia kilimanjaro kuwa ipo close to Amboseli national park ya Kenya,hakuna moshi wala Arusha Tanzania,zinazozungumzwa.
ReplyDeleteHata jaribu kupitia blog yake utagundua hio weakness yake,hawa ndio wanaotupa tabu katika kujitetea kuwa Kilimanjaro ipo Tz.
Mdau na Mzawa USA
Huyo kweli ni Supamodo. Mzuri kama sanamu. Ankal konoz zilishindikana nini?
ReplyDeleteNimecheki blog yake naona anatangaza zaidi magorila ya rwanda. Tanzania ameitaja mara moja tuuuu. Lakini tunashukuru hata hicho kidogo alichotutangaza kwenye project yake.
ReplyDeleteHawa mamodo hawana elimu sana kwa hiyo, hajui kenya wapi tanzania wapi
ReplyDeletelakini kwa vile amekuja Tanzania ataanza kutangaza Tanzania , mimi
ninamsamehe .
ISSA MMEPENDEZA SAANA. ISSA UREFU 5/6 NA KITAMBI CHA KUVALIA SHATI AU (CHOLESTRO)NA MREBO UREFU 6 NA MWILI WA KUVALIA KANZU AU UMBO LA (VIDONGE VYA VITAMIN 6 TOFAUTI KWA SIKU). ISSA HAPO KUMEKOSEKANA MKEKA/MSWALA NA SHEHE, THEN PILAU NA SODA.
ReplyDeleteHUYO ANATUTUMIA TUU KULIPA "THEM BILL'S" NA YEYE ANAJINAFASI "AWF". KUNA CHOMBO CHOCHOTE EITHER CHA SERIKALI YA TANZANIA AU CHA KUJITEGEMEA NGO'S YA TANZANIA KINACHO HAKIKI/RATIBU NA KUJA NA REPORT INAYOONYESHA WAZI KWAMBA HUYU/HAWA MODEL'S WA NJE ANACHANGIA ONGEZEKO LA WATALII NA KWA KIASI GANI ? AU ANACHOFANYA NI KUTUMIWA NA MAJIRANI ZETU (KWA MGOGNGO WA AWF) KUTANGAZA BIASHARA/UTALII WAO KWA KUTUMIA MLIMA KILIMANJARO..?... [TEMBELEA WEB SITE YAKE TAFADHALI NA USOME KWA "MAREFU NA MAPANA"]