Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 19, 2011

    Ankal, kweli hii ni blog ya jamii, inaburudisha, inaelimisha na vilevile inafundisha. Usione watu wengi mitaani wamevaa tai lakini wengi wao hawajui namna ya kufunga!! Ahsante Ankal.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 19, 2011

    Katai is a Masai,katai can tie a tie and untie a tie,if Katai can tie a tie and untie a tie,why can't I tie a tie and untie a tie like Katai.
    Nakumbuka hii Ailis Enzi hizo Arusha,jamani mlosoma Ailis hebu wekeni contact zenu hapa tuwasiliane waliomaliza mwaka 1996/97,mdau uk

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 19, 2011

    Asante sana kwa kupost hii. Huwa nahangaika sana kumfunga mwanangu tai.
    ( I am a woman)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...