Esterina  Sanga ama  ‘Linah’ kwa jina analofahamika katika uimbaji ambaye alikuwa miongoni mwa wasanii ambao walifanikiwa kuleta mapinduzi katika tuzo za muziki za ‘Tanzania Music Awards’ KILI 2011. 
Katika Tuzo hizo Linah alipata tuzo ya Msanii Bora wa Kike 2010 ambako katika kundi hilo walikuwemo Lady Jaydee, Mwasiti, Shaa na Khadija Kopa. Jumapili ilopita alikuwa Njombe, mkoani Iringa, ambako alifunika bovu

Linah akiuteka mji wa Njombe Jumapili ilopita

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 13, 2011

    Mbona madume matupu ndani ya hilo tamasha?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...