
Michezo hiyo, ambayo Tanzania itashiriki, itafanyika jijini Maputo nchini Msumbiji kuanzia Septemba 3 hadi 18, ambapo hii itakuwa mara ya tatu kwa nchi iliyo kusini mwa jangwa la Sahara kuandaa. Awali Baraza hilo kuu la Michezo Barani Afrika liliiteua Lusaka, Zambia, kuwa mwenyeji lakini nchi hiyo ikachomoa kwa kukosa pesa za kutosha, kama ilivyokuwa kwa Ghana ambayo pia ilionesha nia ya kuandaa kabla ya kujitoa baadaye na Msumbiji wakaweka kifua.
Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO -Dar es salaam
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...